Siku ya Quds
IQNA - Katibu Mkuu wa Hizbullah Sayyed Hasan Nasrallah ametoa wito kwa watu kujitokeza kwa wingi barabarani Ijumaa ijayo ambayo inaadhimishwa kama Siku ya Kimataifa ya Quds.
Habari ID: 3478605 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/30
Kiongozi wa Hizbullah
IQNA-Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah amesema utawala haramu wa Israel mepata hasara "isiyo na kifani" mikononi mwa makundi ya Kiiislamu ya kupigania ukombozi wa Palestina (muqawama) na imeshindwa kufikia malengo yake yoyote baada ya siku 100 za vita vyake vya mauaji ya kimbari kwenye Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478199 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/15
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema machaguo yote dhidi ya utawala haramu wa Israel yapo mezani, huku akiuasa utawala huo wa Kizayuni usitishe mara moja uvamizi na mashambulizi yake ya kinyama dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3477836 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/03
Kiongozi wa Hizbullah, Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ndiyo sababu ya matatizo mbalimbali ya kiusalama na kiuchumi yanayozisumbua nchi za eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).
Habari ID: 3477378 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/04
Jinai za Marekani
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Hizbullah Sayyid Hassan Nasrallah amejibu matamshi ya Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani dhidi ya Lebanon na Hizbullah na kusema: "Marekani ndio msingi wa laana na tauni, na Hizbullah ndiyo iliyoondoa shari na laana ya Marekani nchini Lebanon na kuangamiza tauni hiyo."
Habari ID: 3476074 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/12
Mapambano dhidi ya Israel
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon wapigania ukombozi wa Palestina kwa kupata uthubutu na ujasiri wa kujibu jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3475594 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/08
Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, mojawapo ya matunda muhimu zaidi ya mhimili wa Muqawama au mapambano ya Kiislamu yalikuwa ni kuuzima mpango wa Marekani wa kuanzisha Mashariki ya Kati Mpya.
Habari ID: 3475500 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/14
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuhusu mchango usio na kifani wa Mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Imam Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu-MA-) wa kuleta umoja kati ya Waislamu wa madhehebu za Shia na Sunni.
Habari ID: 3474462 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/23
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema marhum Sheikh Ahmad Zein daima alikuwa akitetea mapambano ya Wapalestina na kupinga njama zote zilizolenga matukufu ya taifa hilo.
Habari ID: 3473776 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/01
Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) – Katibu mkuu wa Harakati ya Hizbullah Sayyid Hassan Nasrallah amesema balozi za kigeni mjini Beirut zinahusika katika njama dhidi ya harakati hiyo.
Habari ID: 3473118 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/30
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrallah ametoa wito kwa Waislamu kujikuza kiroho, kisaikolojia na kiakili katika maombolezo ya Mwezi wa Muharram.
Habari ID: 3473089 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/21
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Vita Vya Siku 33 vilibadili kanuni za mapigano kwa maslahi ya Lebanon na kuthibitisha utambulisho halisi wa utawala wa Kizayuni na kiwango cha udhaifu wake.
Habari ID: 3473068 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/15
Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Kaitbu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon uwepo wa majeshi ya Marekani katika eneo umetokana na kuimarika nguvu za harakati za mapambano ya Kiislamu au muqawama.
Habari ID: 3472806 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/27
TEHRAN (IQNA) - Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amehutubu Jumapili usiku mjini Beirut kwa munasaba wa kukombolewa eneo la Juroud Arsal kutoka mikononi mwa magaidi, na katika hotuba yake ametoa radiamali kali kuhusu mashambulizi ya hivi karibuni dhidi ya mhimili wa muqawama na kusema jeshi la Israel lisubiri jibu wakati wowote ule kuanzia Jumatatu usiku.
Habari ID: 3472101 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/26
TEHRAN (IQNA) -Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon ametahadharisha kuwa vita dhidi ya Iran ni sawa na vita dhidi ya mhimili mzima wa muqawama (mapambano ya Kiislamu) na kwa msingi huo amesisitiza kuwa: "Vita dhidi ya Iran vitawasha moto katika eneo lote ( Asia Magharibi)."
Habari ID: 3472087 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/17
Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Marekani imeilisaidia kundi la kigaidi la ISIS au Daesh katika mapigano ya hivi majuzi katika mji wa al Bukamal nchini Syria hatua ambayo inakinzana na madai ya Washington kwamba inapambana na ugaidi
Habari ID: 3471272 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/21
Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah Sayyid Hassan Nasrullah
TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu harakati ya Hizbullah cha nchini Lebanon amesema ushindi mwingine mkubwa umekaribia nchini humo kwani katika kipindi kifupi kijacho, magaidi wote wa ISIS au Daesh watafurushwa katika mpaka mzima wa Lebanon na Syria na usalama kurejea eneo hilo.
Habari ID: 3471141 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/25
Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah amesema kuwa, kushindwa na kufedheheka vitaukumba utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika vita yoyote ile itakayotokea, zaidi ya kushindwa kulikoukuta katika vita vya siku 33 vya mwaka 2006.
Habari ID: 3471122 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/14
Sayyid Hassan Nasrallah
IQNA-Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah amesema magaidi wakufurishaji wanaotenda jina magharibi mwa Asia na Afrika hawana uhusiano wowote na Uislamu wala Matume Mtukufu Muhammad SAW.
Habari ID: 3470759 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/25
Sayyid Hassan Nasrallah
Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, amesema anaitazama itikadi ya misimamo mikali ya Uwahhabi kuwa hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3470581 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/27